Friday, June 21, 2013

Kwa Ajili Yako Mpenzi

Jambo la kweli kuhusu ukweli ni kwamba ukweli UNAUMA. Kwakuwa unauma, na kwakuwa tunapenda UTAMU badala ya uchungu, tunapenda uongo mtamu kuliko ukweli mchungu. Kadiri uongo unavyokuwa mtamu zaidi, na kadiri tunavyoupenda zaidi ndivyo tunavyopumbaa. Zipo njia mbili ambazo kupitia hizo tunaweza kupumbaa zaidi. Kwanza ni kuamini jambo ambalo si lakwqeli na pili ni kukaa kuamini lilele la kweli.

Kuna mambo ambayo sipendi kuyakubali, laikini sitoweza kuyakataa. Kuna mambo ambayo sitopenda kuyakumbuka, lakini sitoweza kuyasahau. Na kuna mambo ambayo sitokuwa na uwezo wa kuyalazimisha, lakini sitakuwa na hiari nayo. Kwa muda mrefu umekuwa ukidhani unaweza, lakini kwajili yako mpenzi pokea nasaha zangu.Kama ni upendo wangu ni mkubwa lkakini sitoweza kujizuia kuvuruga amani yako, na kwakuwa napenda uwe na amani kwahiyo itakuwa vigumu kukuvura na upendo wako.

Na kwakuwa unapenda kuona upendo machoni pako, basi tarajia kuuona ikiwa utaleta upendo wako. Nadhani uliamua mwenyewe kuamua, lakini kama ulikosea kuamua na sasa unaona kama makosa hayo ni makubwa, basi tafakari kwanini uliamua huku ukiangalia hao wanao. Waone kwa upendo, watazame kwa amani na mabaya yote ya mumeo yasahau. Kwakuwa nilikuwa napenda uwe karibu yangu lakini ukaamua uliyoamua basi hakuna sababu ya kulalamikia uamuzi wako.

Unapaswa kuelewa hakuna binadamu aliyekamilika, na hata kama kuna mtu anadhani atakupenda zaidi ya unavyopendwa na mumeo hilo sahau kwani huo ni unafiki. Na kama kweli unadhani upendo wake upo kwako na ndiyo maana hadi ametoa talaka, hilo mimi siliafiki tena natumaini kwako litakutokea tu kwani kama amefanya hivyo kwa mwingine, je itashindikana vipi kwako? Na kama anakupenda hata kuamua kuvuruga ndoa yake ili akuoe wewe jaribu kutafakari kwa kina. Mimi nilikupenda na nakupenda, lakini uamuzi wako wa kuolewa ni jukumu lako, halikuwa langu.

Kama mwanamke mwenzio ameachwa eti kwaajili yako, je wewe ungependa kutendewa hivyo? Je wewe haliweza kukuta hilo? Na mwanzo mpenzio ulimpendea nini? Na kwanini uliniambia nikushauri kuhusu kuolewa wakati uliamua? Nakupenda sana naomba tulia na ndoa yako kipenzi changu. Mungu akulinde pokea UA.

KWANINI WATU HULIA?



Jana nilikuwa nasumbuliwa na swali hilo hapo. Nilikuwa nawaza mengi sana kuhusu binadamu kulia. Nimejaribu kuatafuta vyanzo nakuta ni kama vile MAKOSA, HUZUNI, FURAHA na mengineyo ambayo hayael;ezeki.


Ninajaribu kufikiria sana suala hilo ingawaje naona kwa wtoto ni jambo ambalo limekuwa katika eneo la makuzi yetu. Je nasi tunapolia tunatoa ishara kwamba hatujakua kwahiyo tunahitajika kukua?


Nawaza suala hili haya jawabu nakosa...na wakati mwingine nimewauliza wadogo au watu wazima naona jawabu lao ni moja eti kawaida. Najiuliza ingekuwaje pasingekuwepo na kulia? Nimeuliza hivi wewe Mume wako amefariki, na unajua hataweza kurejea tena kwani unalia? Nini kinachokuliaza hasa?


Wewew umemkosea mtu jambo lolote, na unajaribu kumwomba msamaha, eti huku unalia na kuangusha mchozi, kuna uhusiano gani kati ya kulia na makosa yako>? Iwapoumemkosea rafikiyo, ndugu au wazazi kwanini unalia? Kuna siri gani katika kulia kwetu wandamua

KWANINI UMEAMUA KUWA KAHABA? mmh Swali Gumu!

Ni kweli jamani mambo siyo haya tena, na kweli tunatakiwa kuwa makini. Lakini je ni kweli kwamba baadhi wa wanawake wanaamua kuwa makahaba kwasababu gani? Jamani ilibidi niombe radhi baada ya kumhoji binti fulani kwamba kwanini ameamua kuwa kahaba, kwanza alinitazama na kisha akaniuliza shida yako ni kwanini nimekuwa kahaba aua unataka nikupe huduma?

Ni kweli ikabidi niwe mpole, nikatuliza munkari, nikaanza kuongea kirafiki na binti huyo kwani sikuwa peke yangu bali rafiki zangu pia tumejumuika pamoja tunauliza swali hili.
Jawabu la binti huyu ni kwamba 'MAISHA', nikauliza tena je unaifurahia kwakuwa inakuingizia kipato? Nikajibiwa ni swali gumu kulijibu na nisingependa kuongelea hilo.

Nikawa na adabu, nikajaribu kudodosa tena, unajiamini vipi kukubalia kulipwa 10000 bila kutumia kondomu, na 5000 kwa kondomu? Nikajibiwa..... naomba iwe mwisho.... halafu akanitusi mse***** nini,. Ni matumaini yangu hakunilewa lakini baada hakika nakwambia akawa rafiki mwema tu licha ya kazi ya kuuza mwili wake.

Yaani ndani ya nusu saa amehudumia watu wawili wa vyumba tofauti, halafu katika trip hii kuna watu wana wake zao, na wanajivinjari kana kwamba wake zao hawawatoshi, na utadhani hii ni tour ya mwaka mzima wakati ni siku chache tu.

Suala la msingi nimejifunza sana neno 'MAISHA' kwasababu kila unayeongea naye kishkaji anakwambia MAISHA MTU WANGU. Sasa hapo najiuliza tufanye nini ili kuwaondoa watu katika ngome hiyo waliyopo? Sasa kwasababu wanalalamikia kuwa MAISHA, ni wazi hawa ni wahanga wa MAISHA ya kila siku, lakini ni MAISHA gani hayo?

Bila shaka nawe msomaji unaelewa anapokujibu MAISHA, na ikafika mahali kuna binti aliangusha kilio, tukamwomba msamaha, endapo tunamwudhi, lakini hakika nimebaini makahaba hawa kila mmoja analo DUKUDUKU lake, lakini hawajapata mahali sahihi pa kulisema suala hilo. Sijui ni DUKUDUKU gani, na labda ni MAISHA MTU WANGU.
Jamani nipo fasta nabasti kama pancha, sasa tunaenda zetu makumbusho ya watu wa kale hapa. Hii ndiyo BAGA-HEART mji mtamu nimeupenda jamani hadi raha......halafu mmoja akasema... nyie jamaa poa sana, oyaa nitakupeni namba zangu au vipi mkija tena tuwasiliane...... ha ha ha ha nikupe namba msomaji nawe upatiwe HUDUMA? Thubutu.... sikupi ng'ooooooooooooooooooooooooooooooooo, utajijuuuuuuuuuuu

KITUKO KIKALI
Mzee wa mapokezi anaye mkewe, lakini siku ya jana amefumaniwa baada ya kuchukua mwanamke mmoja hivi akataka amfi**** unaona yaani nyu***. Sasa alikuwa anataka kumlipa huyo mwanamke 20000 ili afanikiwe kuachiwa nyu****. Lakini ugomvi ukazuka, nyumba nzima zogo, watu wakashituka kuna nini, kumbe jamaa analazimisha ataufune uvungu wa nyuma. Ili kumnusuru ilibidi baadhi wapangaji wamshambulie yule mzee ili kumwachia yule mwanamke, lakini haikuwa hivyo kwani baada ya kuitafuna ile ya kawaida jamaa akawa anataka atafune na nyingine ndogo***.

Mungu wangu makahaba wanaushirikiano, na wanamfahamu mke wa yule mzee ilibidi wachukue hatua za kwenda kumchukua....wakakodi pikipiki(hapa ndiyo usafiri wa haraka sana usiku)..... ili amfumanie mumewe.... halafu kumbe nyumba ndogo naye alikuwa akicheza karibu na sehemu ya tukio ili kujionea...... jamani nipeni kondomu hakika hali hiiiiiiii we acha tu.
Baada ya fumanizi yule mzee kwakuwa alitaka kumfi**** yule kahaba kwani haikuwa siri tena yule mwanamke alikuwa akipayuka na kuwaeleza watu anataka kinyumenyume.....akasimulia yaani jana nimelala saa sita usiku hivi duh!
Sijui nisemeje kwani hii hali inaonekana wazi kuwa inashamiri na sisi wanadamu tunaonekana utashi wetu unadidimia kila kukicha.

Lakini mimi naomba kondomu ili nami nijinufaishe hapa, na rafiki zangu wananicheka sana na kituko changu cha kumkataa kahaba aliyezaa, kisha kumkataa mwingine ambaye baadaye aliomba msaada wa kondomu. Ni mambo juu ya mambo yamenikuna sana, najikuna na kujifunza.......lakini naomba sana mnitumie kondomu maana hapa nilipo sina kwahiyo nahitaji sana msaada wenu waungwana. Karibu Bagamoyo tutalii kwa raha lakini msisahau kuniazima kondomu....

NIAZIME KONDOMU, NIPO BAGAMOYO

Hakika nakuomba msomaji wangu, watu wangu NIAZIMENI KONDOMU usifanye mchezo nimezidiwa kiasi ambacho inanilazimu kuomba msaada wa kondomu. Haya ni maisha ya huku sasa, maana kila mmoja anafanya kile anavyojisikia, ingawaje ni kawaida sana.

Sasa mimi nasema naomba msaada wa kondomu maana usiku nilivyoupitisha, nimeletewa MAKAHABA wawili, halafu kahaba wa pili akaomba kondomu ili amsadie kahaba mwenzie kwakuwa dume lake halikuwa na kondomu.

Siku zote naamini utafiti wakati mwingine inabidi uingie mwenyewe ushuhudie, na mchakato wangu wa kitabu kile ni lazima niingie maeneo magumu yenye vishawishi adhimu. BASI jana usiku nilikuwa na rafiki zangu, na kwakuwa hawa jamaa wamekuja na Wapennzi wao, wakaanza kunishambulia eti nitajiuuuuu(ulikuwa utani) wakati tukiendelea na porojo akaja mzee wa mapokezi akaniambia 'mjukuu usipate taabu wewe sema tu sasa hivi utapata, huu ni mji wa kimataifa bwana'.

Ikabidi nitulie kisha nikamjibu hebu niletee binti mmoja nimchungulie kidogo. Wakati nipo sehemu ya chakula, chumba changu nimekifunga, kumbe yule mzee akampigia simu kahaba mmoja hivi, nadhani anafahamiana nao. Akajiingiza hapa kwenye nyumba tuliyopo, lakini mlango wangu ukawa umefungwa(sikuwepo).

Punde niliporejea, nikaona mzee ananilaumu mbona binti alikuja, ila ameahidi kuwa atakuja tena. Kweli zilipita dakika 15 hivi, nikiwa chumbani naongea na rafiki zangu, mara mlango ukagongwa na yule mzee, nikawaambia jamani waungwana nendeni chumbani kwenu. Mzee akanikabidhi binti tuelewane......
Akakaa kitini na kuniambia anisikiliza, ikabidi niulize inakuwaje mbona unanijia? Akaniambia kuwa alielezwa na mzee kuwa nahitaji kupunguza ngare.

Nikauliza bei gani bila kondomu na bei gani kwa kondomu. Duh! jamani niazimeni kondomu .......tafadhali sina huku Bagamoyo. Yule binti bila kusita akaniambia kuwa hawezi kulala hapo kwangu kwani mtoto wake yuko nyumbani, kwahiyo bila kondomu 10.000 na tukitumia kondomu 5000.

Upo hapo? nikauliza swali inakuwaje mtoto aachwe nyumbani halafu yeye yuko hapo? Nikajibiwa hayanihusu, bali tufanye kazi(ku*******) kisha atimue zake. Nikatoa amri moja 'nenda kwenu kapumzike na mwanao, siwezi kulala na wewe wakati mwanao yuko mpweke hana mapenzi ya mama. Jamani akaniambia labda sina haja, nataka kumchezea tu kwa muda wake, nikafungua mlango nikamwabia hamna noma wewe nenda tu................

Kumbe yule mzee anakuwa na kigawo chake baada ya shughuli maana alinilalamikia vipi mjukuu unanikosesha kipato? Nikamwambia tafuta mwingine, huyo amezaa kwahiyo mimi na huyo ni mwiko.
Nikaletewa mwingine, huyu ndiye aliniacha hoi kwamba atalala hadi asubuhi hii ninavyoandika hapa, ila suala la kondomu au bila kondomu ni chaguo langu ila bei 10000. Dakika hiyo amekaa kitandani, na mzee ananiambia bei ndiyo hiyo kwahiyo kazi kwako.

Nikasema asante, waweza kwenda binti. Kitu nilichojifunza ni kwamba, niliuliza swali kwa binti huyo na mzee wa mapokezi ni kwanini anadhani kumekuwa na wimbi la ukahaba katika miji mbalimbali duniani? Nilijibiwa ni MAISHA TU. Sijui wewe unayesoma unaelewa nini maana watu wamegeuza miili yao kuwa biashara. Nimejiuliza sana kwanini binti aseme kuwa suala la kondomu ni uamuzi wangu ila anachohitaji ni malipo yake.
Mwenzangu yakanishinda, nikaomba niachwe kama nilivyo... nikawafuata rafiki zangu nikawaambia ipo kazi hapo ni 'cleverness without wisdom'.

NYEGE ZIKIKUPANDA UNAFANYAJE?

Nipo kwenye daladala, naitazama saa ni saa 6 mchana, siku ya jumamozi wiki iliyopita yaani juzi tu. Nimekosa kiti nawajibika kusimama. Tupo abiria kadhaa mbao tumesimama kiasi ambacho tumebanana kiasi ingawa siyo kama kupumuliana visogoni.
Kati ya waliosimama jirani yangu ni kijana fulani kavaa suluwali aina ya jeans na shati jeusi, kisha miguu kavaa sandozi rangi ya njano. Pembani yake yuko binti makamu ya miaka 19 au 20, sote tupo kimya kila mmoja anawaza lake.
Lakini kadiri tunavyokwenda namuona kijana anamsogelea sana yule binti, anambana kupita kiasi hadi najiuliza kulikoni huyu njemba? Najifanya sioni sana ila nazidisha kujihoji inakuwaje hapao, nini kinachoendelea. Kumbe yule kijana anambana yule binti huku uume umesisisimka jamani, anaHAMU huyooooo, kambana binti wa watu kana kwamba hakuna nafais nyingine. Kinachonifanya nigundue ni kwamba mara nyingi alikuwa akiingiza mkono kwenye suluwali yakee yaani pale penye uzima wake wa kunogeshea mambo. Naona anatengeneza kuelekea kwa yule binti, najiuliza kulikoni hapa?
Naona kuna mzee fulani kagundua ule mchezo, pia hata binti akagundua kuwa TAKO lake linaguswa na kitu kigumu ingawaje ni KITAMU. Sasa yule kijana anaongeza midadai bila kufahamu tuliopo pembeni tunaona harara zake, anajikita zaidi katika tako la yule binti, anatetemeka kiasi, mara anazidisha hali hiyo huku akisahau yuko kwenye gari la umma. Kimsingi nashindwa kuvumilia naamua kucheka, naona jirani yangu fulani kagundua kitu kwanini nacheka kishkaji...maana hata mhusika alibaini hilo. laiti angelijua kuwa nilikuwa nacheka kumnusuru kabla hajakutwa na zahma...nikaona bora niendelee kunyamaza tu huku nikicheka kibingwa.
Jamaa hana soni, ndani ya basi abiria wamepungua, kuna nafasi ambayo angeliweza kutengana na yule binti...lakini haachi jamani duh! Naona kuna siti iko tupu naamua kuisogelea, ndipo jamaa mmoja ananiuliza inakuwaje mwana mbona kicheko muda mrefu sana, namshitua cheki kazi hapo mbele.....alaaha kuja kuangalia hali imekuwa hivyo hadi binti kagundua jamaa akaelekeza kichungulia uvunguni katika TAKO lake. Na kilichomwokoa binti ni kwamba kuna jamaa alishuka kituo fulani kwahiyo akapata upenyo akajichopoa haraka toka kiunoni mwa mshikaji.
Ikabidi nijiulize hivi wanawake waliopo na wamejazana kama magazeti duniani hawaoni? Nikajiuliza inakuwaje aisake aibu yote hii? Je kama wewe msomaji unapokuwa na NYEGE unafanyaje? Au unaparamia kama huyu jamaa? Ni rahisi tu mbona kuna midada ipo inauza uvungu kwa sh. 300/=? Usibishe msomaji nimechunguza haya mambo?
Najiuliza ni kweli hana buku akijipatie uvungu japo kupunguza TUI LA NAZI? nadhani nilichanganyikiwa mimi labda na mwenzangu akawa anajipa starehe...... najiuliza sipati jibu!

JINI MAHABA LINANISUMBUA....


Naomba niwekee hii habari Kwa wana mange's blog wenzangu wanisaidie. Nimekuwa nikisumbuliwa na jini mahaba Kwa mda mrefu sasa. Mwanzoni nilikua sijui Ila kwenye maisha yangu nimekua nikiota nafanya mapenzi na wanaume tofauti tofauti nikiwa ndotoni. Nikiwa na boyfriend tunapendana sana mwanzoni , tukikaa Kama mwezi hivi ananiacha au Mimi mwenyewe namchukia kupita kiasi namuacha.

Nikamweleza rafiki yangu mmoja yeye akanishauri anipeleke Kwa mganga, nilipofika huko ndio nikaambiwa Nina jini mahaba, niliogopa sana kwani ndio ilikua Mara yangu ya kwanza Kwa mganga, na pili kuambiwa Nina Jini.

Nina mengi sana Ila Kwa ufupi tangia siku hiyo Mimi nikawa Wa kuhangaika Kwa waganga tofauti tofauti, Mara Kwa Ustaadh wananisomea dua, mara kanisani bila mafanikio. Sasa nikienda Kwa mganga siku hiyo ndio balaa ananijia, Mara usiku naona jini linanishika Kwa nguvu linanifanya mapenzi, Mara linataka kunikaba, mara linaniambia tumezaa watoto siondoki nakupenda, Mara linanikandamiza kichwa etc, hapa Jana limetoka kunitisha limevaa kanzu nyeupe, yaani kila ukifika usiku nawaza sijui Leo atakuja, nasali tu nalala, Ila akinitokea ndio silali Tena Kwa uoga, Leo nimeamka saa Tisa usiku mpaka now asubuhi ndio nalala.